Sunday, December 9, 2012

BARA ACHENI KUTUSHIRIKISHA KINAFIKI TUIPELEKE TANZANIA KWENYE FAINALI ZA MATAIFA YA AFRIKA!

wachezaji wa Zanzibar Heroes wakishangilia baada ya kuifunga Kilimanjaro Stars kwa penalti 6-5 katika mechi ya kutafuta mshindi wa tatu na wa nne katika mashindano ya Cecafa Challenge 2012.


Kocha Mkuu wa timu ya Zanzibar Heroes Salum Nasoro Bausi ambaye ameshatangaza kujiuzu akiwa amebebwa  baada ya kuifunga Kilimanjaro Stars kwa mikwaju ya penati 6-5 wakati wa mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu ya michuno ya Cecafa Challenge 2012 uliochezwa katika Uwanja wa Mandela Jijini Kampala

Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakishangilia baada ya kuifunga Kilimanjaro Stars kwa Penati

No comments:

Post a Comment