Baada ya kipindi kirefu kupita msanii Faraji Twaha a.k.a Sajna ameamua
kuachia wimbo wake unaoitwa 'ROHO MBAYA' ambao aliurekodi takribani
miaka miwili iliyopita na kuwashirikisha Belle 9 pamoja na mwanadada
Pipi.
Kwa mujibu wa Sajna wimbo huu sio official single yake ya mwaka huu
lakini ameutoa kuvunja ukimya uliotokana na kubanwa na shule na pia kama
zawadi kwa fans wake, wakati anajiandaa kutoa official song yake ya
mwaka huu 2013. Roho mbaya pia inapatikana katika album yake ya kwanza
inayoitwa Iveta.
No comments:
Post a Comment