Kutana na Msanii Chipukizi "Gusher" anayekuja na crunk aloita "Bado
wewe" ikiwa imewalenga viongozi walopotosha maana nzima ya uongozi bora
nchini,Kijana Gusher toka panda za kaskazini mwa Tanzania amerekodi pini
pande za noizmekah,ni mwenye juhudi na malengo makubwa katika kuonyesha
kipaji chake anaomba support yenu mashabiki na wadau kwa ujumla, kupata
kuisikiliza nyimbo hii ya "BADO
MADOLE
PATA HABARI NA BURUDIKA
Sunday, January 13, 2013
NEW TRACK-ManBatoo-She nah Leave(NOIZ)
Pata brand new riddim toka kwa ManBatoo aka Rudbwai from Arachuga Kijenge juu,Reggae joint inakwenda kwa jina "She nah leave" ikiwa ni new years release juu ya "heart & soul riddim" na mixing pande za www.noizmekah.com.
Subscribe to:
Posts (Atom)