Sunday, January 13, 2013

NEW TRACK-Gusher-Bado wewe

Kutana na Msanii Chipukizi "Gusher" anayekuja na crunk aloita "Bado wewe" ikiwa imewalenga viongozi walopotosha maana nzima ya uongozi bora nchini,Kijana Gusher toka panda za kaskazini mwa Tanzania amerekodi pini pande za noizmekah,ni mwenye juhudi na malengo makubwa katika kuonyesha kipaji chake anaomba support yenu mashabiki na wadau kwa ujumla, kupata kuisikiliza nyimbo hii ya "BADO

NEW TRACK-ManBatoo-She nah Leave(NOIZ)

Pata brand new riddim toka kwa ManBatoo aka Rudbwai from Arachuga Kijenge juu,Reggae joint inakwenda kwa jina "She nah leave" ikiwa ni new years release juu ya "heart & soul riddim" na mixing pande za www.noizmekah.com.

PSY-Gngnam Style Mash-Up