Tuesday, January 1, 2013

Make 2013 better to avoid past mistakes




As Tanzanians today bid goodbye to year 2012 and happy new year 2013, they look forward to yet another eventful year ahead that starts today.
                 Last year was bad for many people, what withit being ushered in by such calamities as the Msimbazi river floods in December- January in Dar es Salaam that left thousands of people homeless up to now.
                Then there were bombs that exploded fromarmy depots camps at Gongo la Mboto which had devastating effects on neighbourhoodresidents.
                  There were, furthermore, ghastly road accidents that led to loss of life and limb for many passengers, and religious skirmishes in both Mainland Tanzania and Zanzibar. As they year 2013 unfolds,Tanzanians shouldreflect on shortcomings and chart the best way forward. Army camps, for instance, shouldbe located at distances far away from wananchi, to avoid disasters like Mbagala’s and Gongo la Mboto’s.
                We understand that when they were first set upthey were in remote areas that were inaccessible to members of the public.But, as the population grew, people slowly started to move near them, what with the army being the people’s defence force. Slowly people built makeshift structures and later permanent ones, finding in soldiers a ready market for selling food and other items.
But the authorities concerned were unwittingly courting disaster.Be that as it may, however, we find it odd that there are people still living in tents at Mabwepande where survivors of floods along Msimbazi River were shifted to, a year on.
As for traffic accidents, much has been said, but it needs the will of everybody concerned to keep them to the barest minimum.
            These include the traffic police, drivers, Surface and Marine Transport Authority (Sumatra), Tanzania Roads Agency (Tanroads), legislators and law courts.
They should crack their heads to find solutions to the problem of recurring road accidents, and not only issue orders from the comfort of their air-conditioned offices.

Kifaa cha Tablet kutoka Afrika


Kifaa cha Tablet
Kifaa cha Tablet kilichoundwa barani Afrika

Simu aina ya smartphone na kompyuta za tablet zinazosemekana kuwa vifaa vya mawasiliano vya kwanza kutengenezwa na kampuni ya Afrika zimezinduliwa.
Vifaa hivyo, ambavyo vimebuniwa na mjasiriamali wa Congo,vinatengenezwa nchini China.
Kampuni yake ya VMK, vifaa vyake vinaendeshwa kwa teknolojia ya Android ya Googles.

Simu hizo za smartphone zitauzwa kwa bei ya rejareja ya dola $170, sawa na pauni za Uingereza (£105) na kompyuta itauzwa kwa dola $300 sawa na pauni (£185).
"Ni Waafrika wenyewe, ndiyo watakaofahamu mahitaji ya Afrika," amesema Bwana Mankou katika mkutano wa Tech4Africa mjini Johannesburg.
"Apple ni kampuni kubwa Marekani, Samsung ni barani Asia na tunataka VMK kuwa kampuni kubwa barani Afrika."

Kifaa cha Tablet kilichoundwa barani Afrika
Blogu ya teknolojia ya Smartplanet imeripoti kuwa kompyuta za VMK zinatoa huduma ya uunganishaji wa wi-fi na uwezo wa gigabytes 4 ambazo zimehifadhiwa ndani yake.
Jina lake, Way-C, lina maana ya "mwanga wa nyota" katika lugha ya Kilingala.
Simu hiyo ya smartphone nyuma na mbele ina kamera na skrini ya ukubwa wa inchi 3.5 sawa na sentimita 8.9.
Verone Mankou
Verone Mankou, ndiye aliyeunda kifaa hiki
Kuna mipango ya kuuza simu hizi katika nchi kumi za Afrika Magharibi pamoja na Ubelhiji, Ufaransa na India.
Bwana Mankou amesema anatarajia kuzindua uuzaji wa kompyuta za bei nafuu zaidi kwa wanafunzi mwaka ujao.
VMK imesisitiza kuwa wakati bidhaa zake zinatengenezwa China kwa sababu za unafuu wa gharama, ubunifu na uhandisi wa simu hizo ni wa Kiafrika.
Hii ni kutokana na baadhi ya watu au kampuni za biashara kupinga uwezo wa kampuni hiyo katika teknolojia ya simu na kompyuta.

Kampuni ya VMK imesema kinyume na bidhaa nyingine za awali za simu na komputa zilizosemekana kuwa za Afrika, bidhaa za VMK hazifanani na bidhaa zozote za aina hiyo katika nchi nyingine.
source:BBC

HUYU NDIO DADA YAKE MARIO BALOTELLI AMBAE YUKO MAPENZINI NA MCHEZAJI OBAFEMI MARTIN.


.
Kwa wiki kadhaa sasa hivi zimekuwepo taarifa kwamba mchezaji wa Manchester City Mario Balotelli amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wa Nigeria Obafemi Martins kuingia kwenye mapenzi mazito na dada yake, yani dada wa Balotelli.
Obafemi ameamua kuzungumza kwa kusisitiza kwamba hizo ni habari tu kwamba Mario kakasirika lakini sio kweli, Balotelli anafurahi dada yake kuwa mapenzini na Obafemi.

Wapenzi hawa wamekua wakionekana sehemu mbalimbali za goodtimes na wameonekana wazi kabisa kuwa kwenye mapenzi mazito.
Obafemi amekaririwa na Daily Post akisisitiza kwamba “Mario ni mshkaji wangu, ananiheshimu na mimi namuheshimu… habari za yeye kukasirika ni watu tu wanatunga”


Balotelli
Obafemi amesema ni kweli yuko kwenye mapenzi mazito na Abigail lakini hawana mpango wa kuoana sasa hivi na wala hawajawahi kuliongelea hilo.
Kwenye interview na gazeti la The Sun April 2012 Abigail ambae ni dada wa Mario Balotelli alisisitiza kwamba hana mpango wa kuwa mapenzini na mchezaji yeyote wa mpira kwa sababu ni watu wanaozungukwa sana na wasichana, wasichana wanajipeleka wenyewe bila kuitwa, hata Balotelli hatomruhusu kuwa na mpenzi mwanasoka lakini naona mambo yamekua tofauti sasa hiv

ASKARI ALIYEPIGA PICHA NA LEMA ATOROKA JESHINI


JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema askari anayedaiwa kuwa jeshi hilo aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema ametoroka.
 
Msemaji wa JWTZ, Kanali Kapambala Mgawe alisema jana kwamba pamoja na hatua yake ya kutoroka, jeshi litaendelea kumsaka kwa udi na uvumba ili kumhoji na kujiridhisha kama kweli ni mwanajeshi wake kabla ya kumchukulia hatua za kinidhamu kwa mujibu wa Kifungu cha 147 cha Katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ya 1977.
 
“Huyu kijana inasemekana alishawahi kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), lakini wakati tunaendelea na uchunguzi alitoroka katika nyumba aliyokuwa amepanga bila ya taarifa kwa baba mwenye nyumba,” alisema Kanali Mgawe na kuongeza:
 
“Askari huyo alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga mita chache karibu na Kituo cha Polisi cha Simanjiro, Arusha na alikuwa akijishirikisha na ulinzi shirikishi.”
 
Alipoulizwa jina la askari huyo, Kanali Mgawe alijibu: “Yeye alikuwa anafahamika mtaani hapo kwa jina la kamanda.”
 
Hata hivyo, Kanali Mgawe alisema jeshi hilo litahakikisha linatoa ripoti kamili kwa umma baada ya kumkamata na uchunguzi kukamilika ili kuondoa utata uliogubika suala hilo.

Alipoulizwa kama kuna tofauti gani kati ya mwanajeshi kuingia kwenye mikutano ya wanasiasa na wale wanaofanya kazi za kisiasa kama wakuu wa wilaya na mikoa, Kanali Mgawe alijibu:” Wanajeshi wanaofanya kazi za U-DC au RC, wanaruhusiwa kisheria.”
 
Alifafanua kuwa iwapo mwanajeshi atateuliwa kufanya kazi katika taasisi yeyote ya Serikali nje ya jeshi, atatakiwa kuvua magwanda ya jeshi na kufanya kazi hiyo mpaka atakapomaliza muda wake na baada ya hapo ataruhusiwa kurejea jeshini.
 
“Kuna kitu kinaitwa ‘secondment.’ Mwanajeshi anaruhusiwa kufanya shughuli zozote nje ya jeshi iwapo atahitajika kufanya hivyo. Ila kwa masharti ya kuvua magwanda, hivyo wananchi wasishangae kuwaona baadhi ya askari wetu ni wakuu wa wilaya na mikoa na baadaye kurudi jeshini kuendelea na majukumu yao,” alisema Kanali Mgawe na kuongeza:
 
“Askari akiwa katika majukumu yake mapya, atafanya kazi zote atakazopewa zikiwamo za kisiasa kama ilivyo kwa wakuu wa wilaya na mikoa, lakini akirudi jeshini, anarudi kuwa askari mwenye utii na kufuata kanuni za jeshi zisizofungamana na siasa.”

RIPOTI FUPI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI- TANZANIA


Matokeo rasmi ya sensa yametoka. Idadi ya Watanzania ni milioni arobaini na nne nukta tisa. (44.9million).


Matokeo hayo yametangazwa leo katika viwanja vya Mnazimmoja jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012.

Jumla: 44,929,002. TZ Bara 43,625,434 na Zanzibar 1,303,568
Source:MPEKUZI

MAJUU WAKISHANGILIA MWAKA MPYA WABONGO TUNASHEHEREAJE

 New Year's Eve celebrations around the world hapa Pakistan Rob Crilly... ukiwa mji umenuka mbaya kwa shagwe!!!


 Hapa watu wakiwa wanasherekeea kwa kuangalia  fireworks are lighting up the city's skyline



Australia welcomes in the New Year
• Revellers around the world prepare to celebrate the start of 2013
• India's army cancels New Year celebrations in remembrance of gang-rape victim
• Britain expects washout New Year as flooding countinues
• Record turnout expected for Hogmanay in Edinburgh