SONG : LOVE IS
MSANII : JACO BEATS
PRODUCTION : LONG MILES
PRODUCER : JACO BEATS
Jaco Beats ni moja ya wasanii wanaofanya vizuri katika industry ya mziki Tanzania. Anafanya vizuri akiwa msanii huku Producer,Mziki wake anaufanya pande za Dodoma.
| Kwa mara ya kwanza juzi january
10 2013 ndio zilitangazwa habari za msanii Mh Temba kuibiwa vitu vya
gari lake kwa mara ya tano, amekua na magari tofauti tofauti ambapo kwa
mara tano ameibiwa vitu mbalimbali ambapo baadae amekua akilazimika
kununua vitu vilevile vya kwake. Hizi picha amezituma Exclusive kwa millardayo.com na kusema huyu jamaa anatuhumiwa kuwa mwizi hodari wa power window, vioo na vifaa vingine vya magari mbalimbali ambapo alipohojiwa na polisi amesema yeye huwa ananunua tu vifaa vya magari lakini hausiki kufanya wizi. Wanaofanya wizi ni wengine ndio wanamletea na yeye anafanya kazi ya kumpigia simu mwenye mali ili aje avinunue vifaa vilivyoibiwa kwenye gari lake, sasa kilichofanya Mh Temba amkamate ni pale alipopigiwa simu na huyu huyu jamaa na kudai kwamba anavyo vifaa vilivyoibwa kwenye gari lake. |
Hii
ndio Verosa ambayo waliiba vifaa ambavyo baadae Temba alikuja kuvinunua
kwa laki nane, na ni vifaa vilevile vilivyoibwa kwenye gari lake.
Kumbe huyu jamaa ndio yule yule
aliwahi kumpigia simu Temba wakati alipoibiwa tena vifaa vya gari
november 2012 na kumuuzia vifaa vilevile kwa shilingi laki nane huku
Temba akiitoa hiyo pesa akiwa anajua kabisa vifaa anavyonunua ni
vilevile, wakati huu Temba bado alikua ameisave namba yake kwa hiyo
akashtukia mchezo kwamba jamaa ndio wanamchezea hivyo akajipanga na
kwenda kumkamata.
|
| Mtuhumiwa alipofikishwa polisi
akajitetea kwamba yeye hausiki na wizi, yeye anafanya udalali wa kununua
na kuuza hivyo vifaa tu na wala vitu vingine vinavyoibwa kwenye magari
kama Camera na Laptop huwa hausiki navyo na wala havinunui.
Polisi wanamjua kabisa na namba yake wanayo kwa sababu jamaa amekua na kesi hizo mara nyingi sana hapo kituoni, mara ya mwisho ambapo wengi wanaoibiwa vifaa huwa anawaambia watume pesa kupitia line yake ya simu ya mkononi alafu wakishatuma ndio mtu anatumwa kwenda kuvipeleka hivyo vifaa, kama alivyofanya kwa Mh Temba mara ya mwisho na alitaka kufanya hivyo hata wakati huu. Mh Temba amerudishiwa vifaa vyake alivyoibiwa wakati huu na mtuhumiwa ameachiwa, sio kwa dhamana ila wamechukua tu alama zake za vidole wakamwambia arudi jumatatu, Temba nae kaambiwa arudi jumatatu. |
![]() |
BAADA
ya wanafunzi wa Chuo Cha Uongozi wa Fedha (IFM) kwenda kigamboni ambako
Kamanda wa kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova kuwataka
wakawasilishe hoja zao hukohuko ambako wanadai walipeleka majina ya
wahalifu na hayajashughulikiwa, waligoma kufanya mkutano kwenye viwanja
vya mpira eneo la Machava nakutaka mkutano huo ufanyike kwenye kituo cha
polisi Cha Kigamboni ambako wanafunzi wengi wao walielekea huko.
|
VILIO NA KICHAPO TOKA KWA POLISI VILITAWALA MAANDAMANO YA YA WANAFUNZI WA IFM
Mara
baada ya kufika kwenye kituo hicho waliamriwa maratatu waondoke waende
kwenye mkutano na Kamanda Kova wakakataa baada ya hapo ndipo mabomu
yakaanza kupigwa. Kwenye mabomu hayo wanafunzi kadhaa walijeruhiwa na
kuumia wengine walipoteza fahamu.
Hata
hivyo walioshikiliwa wote waliachiwa na kutakiwa kwenda kwenye mkutano
huo ambao uliazimia mambo kadhaa ya utekelezaji ili kutatua tatizo hilo
la wizi kwenye eneo hilo. Kamanda Kova aliwaahidi wanafunzi hao kuwa
watapata mrejesho wa hatua walizochukuwa siku ya tarehe 30 mwezi huu
|
|
As
Tanzanians today bid goodbye to year 2012 and happy new year 2013, they look forward to yet
another eventful year ahead that starts today.
Last year was bad for many people, what withit being ushered in
by such calamities as the Msimbazi river floods in December-
January in Dar es Salaam that left thousands of people homeless
up to now.
Then there were bombs
that exploded fromarmy depots camps at Gongo la Mboto which had
devastating effects on neighbourhoodresidents.
There were, furthermore, ghastly road accidents that led to loss
of life and limb for many passengers, and religious skirmishes in
both Mainland Tanzania and Zanzibar. As they year 2013
unfolds,Tanzanians shouldreflect on shortcomings and chart the
best way forward. Army camps, for instance, shouldbe located at
distances far away from wananchi, to avoid disasters like
Mbagala’s and Gongo la Mboto’s.
We understand that when they were first set upthey were in remote
areas that were inaccessible to members of the public.But, as
the population grew, people slowly started to move near them,
what with the army being the people’s defence force. Slowly
people built makeshift structures and later permanent ones,
finding in soldiers a ready market for selling food and other
items.
But the
authorities concerned were unwittingly courting disaster.Be that
as it may, however, we find it odd that there are people still living in
tents at Mabwepande where survivors of floods along Msimbazi
River were shifted to, a year on.
As for traffic accidents, much has been said, but it needs the
will of everybody concerned to keep them to the barest minimum.
These include the traffic police, drivers, Surface and Marine
Transport Authority (Sumatra), Tanzania Roads Agency (Tanroads),
legislators and law courts.
They should crack their heads to find solutions to the problem of
recurring road accidents, and not only issue orders from the
comfort of their air-conditioned offices.
|






![]() |
| Australia welcomes in the New Year • Revellers around the world prepare to celebrate the start of 2013 • India's army cancels New Year celebrations in remembrance of gang-rape victim • Britain expects washout New Year as flooding countinues • Record turnout expected for Hogmanay in Edinburgh |