Sunday, January 13, 2013

NEW TRACK-Gusher-Bado wewe

Kutana na Msanii Chipukizi "Gusher" anayekuja na crunk aloita "Bado wewe" ikiwa imewalenga viongozi walopotosha maana nzima ya uongozi bora nchini,Kijana Gusher toka panda za kaskazini mwa Tanzania amerekodi pini pande za noizmekah,ni mwenye juhudi na malengo makubwa katika kuonyesha kipaji chake anaomba support yenu mashabiki na wadau kwa ujumla, kupata kuisikiliza nyimbo hii ya "BADO

NEW TRACK-ManBatoo-She nah Leave(NOIZ)

Pata brand new riddim toka kwa ManBatoo aka Rudbwai from Arachuga Kijenge juu,Reggae joint inakwenda kwa jina "She nah leave" ikiwa ni new years release juu ya "heart & soul riddim" na mixing pande za www.noizmekah.com.

PSY-Gngnam Style Mash-Up

Thursday, January 10, 2013

Watu kumi na tatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa tuhuma za mauaji yanayohusisha imani za kishirikina.


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
 JESHI LA POLISI TANZANIA





YAH: TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA
 VYOMBO VYA HABARI TAREHE 10/01/2013.
Watu kumi na tatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi  Mkoani Dodoma kwa tuhuma za mauaji yanayohusisha imani za kishirikina.
Watu hao wanashikiliwa kutokana na tukio la mauaji lililotokea siku ya Jumatano tarehe 09/01/2013 majira ya saa 04:00 mchana katika kitongoji cha Mtakuja kata ya  Chitemo katika Wilaya ya Mpwapwa.
Katika tukio hilo  walisababisha kifo cha mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la NELSON S/O NYAGULU mwenye umri wa miaka 32, mkulima wa Chitemo  kwa kupigwa na risasi ya Bunduki aina ya Gobore tumboni na mtu aliyefahamika kwa jina la RASHID S/O KALANI.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba tarehe 08/01/2013 huko katika kijiji cha Chitemo kulikuwa na mnada, ambapo mvua ilinyesha sehemu moja ya kitongoji cha Mtakuja, sehemu ambayo alikuwa  anaishi mzee mmoja aliyejulikana kwa jina la LEONARD S/O NYAGALU, Miaka 70, Mgogo.
Kwa vile mvua hiyo haikunyesha sehemu kubwa katika kitongoji hicho inasemekana Mwenyekiti wa Kijiji JAVAN S/O MZAZI, Miaka 40, Mgogo, aliibua hoja kuwa kwa nini mvua inyeshe eneo moja tu analokaa Mzee huyo na kuacha kunyesha sehemu nyingine katika eneo hilo na kuwahamasisha wenzake kwenda kwa Mzee Nyagalu akawaeleze vizuri.
Majira ya 23.00 hrs usiku wakakusanyana na kuelekea kwa Mzee  Nyagalu, Walipofika Mzee huyo alisikia watu wakizungumza nyumbani kwake hivyo akavunja ukuta na akatoroka.
Inadaiwa kuwa kundi hilo lililokuwa limeongozana na Mwenyekiti wa Kijiji hicho waliingia ndani ya nyumba na kumkuta mke wa Mzee Leonard Nyagalu na kuanza kumpiga ili aonyeshe aliko mume wake, waliposhindwa kumpata wakabomoa nyumba na kuichoma moto.
Wakati wanafanya tukio hilo, walijitokeza watoto wa Mzee Leonard S/O Nyagalo, mmoja wao akiwa ni NELSON S/O NYAGALU, Miaka 32, Mgogo na ndipo nao wakaanza kupigwa.
Kwa mujibu wa watu walikuwa katika tukio hilo walisema ilisikika sauti ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la RASHID S/O KARANI akisema sasa mmetangaza vita na akafyatua gobore na risasi zikampata NELSON S/O NYAGALU tumboni zilizopelekea kupoteza maisha wakati anapata matibabu.
Baada ya kufyatua risasi toka katika gobole Bw. RASHID S/O KARANI aliwaaga wenzake kuwa anakwenda kujisalimisha Polisi lakini hadi sasa hajaonekana na jitihada za kumtafuta pamoja na silaha aliyotumia zinaendelea.
Majina ya wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi kutokana na kushiriki katika tukio hilo  ni kama ifuatavyo:-
1.  Dickson S/O Chimosa, Miaka 52, Mgogo, Mkulima na Mkazi wa Chitemo.
2.  Javan S/O Mzazi, Miaka 44, Mgogo, Mwenyekiti wa Chitemo.
3.  Robert S/O Lusije, Miaka 51, Mgogo, Mkulima na mkazi wa Chitemo.
4.  Donald S/O Mponi, Miaka 33, Mgogo, Mkulima na mkazi wa Chitemo.
5.  Daniel S/O Mwamba, Miaka 24, Mgogo, Mkulima, Mkazi wa Chitemo.
6.  Maneno S/O Ngaile, Miaka 36, Mgogo, Mkulima, Mkazi wa Chitemo
.
7.  Thomaso S/O Nyagalo, Miaka 28, Mkulima, Mkazi wa Chitemo.
8.  Gilbert S/O Lugaje, Miaka 39, Mgogo, Mkulima, Mkazi wa Chitemo.
9.  Aden S/O Simon, Miaka 33, Mgogo, Mkulima, Mkazi wa Chitemo.
10.      Malolo S/O Sanja, Mgogo, Mkulima, Mkazi wa Chitemo.
11.      Sospeter S/O Sanja, Miaka 35, Mgogo, Mkulima, Mkazi 
wa Chitemo.
12.      Jocktan S/O Chilomo, Miaka 40, Mgogo, Mkulima, Mkazi wa Chitemo.
13.      Keneth S/O Ngaile, Miaka 38, Mnyamwezi, Mkulima, Mkazi wa Chitemo.
Aidha siku ya Jumamosi tarehe 05/01/2013 majira ya 08:00 asubuhi kulikuwa na tukio la mauji  lililotokea katika Kitongoji cha Magungu, Kijiji cha Mpendo, Kata ya Mpendo Tarafa ya Kwa Mtoro Wilaya ya Chemba Mkoa wa Dodoma.
Ambapo mtoto mmoja aliyetambulika kwa jina la TONY S/O SOKOINE mwenye umri wa miaka miwili na nusu (2.5), mkazi wa Kijiji cha Mpendo alifariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa kuchomwa na kisu shingoni kilichorushwa na mtoto mwenzake aliyefahamika kwa jina la SOMEI S/O REMENDA mwenye umri wa miaka mine (4) mkazi wa Kijiji cha Mpendo.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha Kifo hicho ni kwamba marehemu na mtuhumiwa walikuwa wanacheza nje nyumbani kwao kwa akina SOKOINE S/O RENENDA ambapo mtuhumiwa alirusha kisu kwa lengo la kumuua ndege aliyekuwa juu ya mti  uliokuwa karibu na nyumba yao, ndipo kisu huchi kiligonga kwenye mti huo na wakati kinadondoka kilimjeruhi marehemu kwa kumchoma shingoni  na kusababisha kifo chake.
 
DAVID A. MISIME - ACP
                  KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA    

YOU’RE MORE IMPORTANT


YOURE MORE IMPORTANT
          Man is a social being; he interacts with many people from different areas.
           Looking around at where I am I see people, so many. Some I know some I know some I don’t; just different people. Looking at them closely I see one thing; they are all different; so are their thoughts, beliefs, goals and ideas. Each one has his or her self values and needs.
           But life is for living, living is interacting with these different people; every hour, every minute and every second. If you interact with them they have access to your life. Everyone wants to make you be how they want you to be. But the question is how should you be to please all those around you? Who should you listen to as to please all of them?
           Trying to please all of them is impossible; it is very far from being possible. Be yourself that’s the only way out. You are more important than anyone else around you. They can only advice but the effects of whatever they advice come directly to you; not to all those around you, no matter how close they are. Only you suffer the blow of what you do.
             I once asked myself; why didn’t God put only one brain so that we can all share it? Why do we get hurt individually and all together? Why?
What others want for you is not important for you, that is what they want not what God wants for you; not the reason why you were created, what you want for you is very important. It’s your mission in your life. It leads to your destination;                        YOUR DESTINATION, no one else YOURS ONLY.
             No one else has the power to make you fail unless you allow them to do so. We open the doors of our lives to them and they penetrate too much that we can’t even stand on what we want. What do we get when we fulfill the dreams of the world to us and fail to achieve our own goals.
              You have the powers to decide the extent to which people can interfere with your life and way of living. In your life you’re more important. Oxygen is for all of us but you breathe through your own nose; not through anyone’s nose; that shows in life you stand alone!
It is your fight not a TEAM WORK. You’re responsible for your life!!!
      Prepared by HEAVEN DAVID

PICHA YA AJALI ILITOKEA JANA,BASI LA BUNDA EXPRESS

Eneo la katikati ya Lugeye na Nyanguge basi la abiria la 'Bunda Express' lenye namba za usajili T 782 BKZ likitokea Musoma kuelekea Mwanza muda wa saa mbili asubuhi jana lilipata ajali mbaya, mazingira yanaonesha kuwa idadi kubwa ya watu wamekutwa na umauti na wengine kuwa majeruhi na mvua kubwa ilikuwa ikinyesha.
Eneo la magu basi la abiria la 'Bunda Express' lenye namba za usajili T 782 BKZ likitokea Musoma kuelekea Mwanza muda wa saa mbili asubuhi jana lilipata ajali mbaya, mazingira yanaonesha kuwa idadi kubwa ya watu wamekutwa na umauti na wengine kuwa majeruhi na mvua kubwa ilikuwa ikinyesha.

Tuesday, January 1, 2013

Make 2013 better to avoid past mistakes




As Tanzanians today bid goodbye to year 2012 and happy new year 2013, they look forward to yet another eventful year ahead that starts today.
                 Last year was bad for many people, what withit being ushered in by such calamities as the Msimbazi river floods in December- January in Dar es Salaam that left thousands of people homeless up to now.
                Then there were bombs that exploded fromarmy depots camps at Gongo la Mboto which had devastating effects on neighbourhoodresidents.
                  There were, furthermore, ghastly road accidents that led to loss of life and limb for many passengers, and religious skirmishes in both Mainland Tanzania and Zanzibar. As they year 2013 unfolds,Tanzanians shouldreflect on shortcomings and chart the best way forward. Army camps, for instance, shouldbe located at distances far away from wananchi, to avoid disasters like Mbagala’s and Gongo la Mboto’s.
                We understand that when they were first set upthey were in remote areas that were inaccessible to members of the public.But, as the population grew, people slowly started to move near them, what with the army being the people’s defence force. Slowly people built makeshift structures and later permanent ones, finding in soldiers a ready market for selling food and other items.
But the authorities concerned were unwittingly courting disaster.Be that as it may, however, we find it odd that there are people still living in tents at Mabwepande where survivors of floods along Msimbazi River were shifted to, a year on.
As for traffic accidents, much has been said, but it needs the will of everybody concerned to keep them to the barest minimum.
            These include the traffic police, drivers, Surface and Marine Transport Authority (Sumatra), Tanzania Roads Agency (Tanroads), legislators and law courts.
They should crack their heads to find solutions to the problem of recurring road accidents, and not only issue orders from the comfort of their air-conditioned offices.

Kifaa cha Tablet kutoka Afrika


Kifaa cha Tablet
Kifaa cha Tablet kilichoundwa barani Afrika

Simu aina ya smartphone na kompyuta za tablet zinazosemekana kuwa vifaa vya mawasiliano vya kwanza kutengenezwa na kampuni ya Afrika zimezinduliwa.
Vifaa hivyo, ambavyo vimebuniwa na mjasiriamali wa Congo,vinatengenezwa nchini China.
Kampuni yake ya VMK, vifaa vyake vinaendeshwa kwa teknolojia ya Android ya Googles.

Simu hizo za smartphone zitauzwa kwa bei ya rejareja ya dola $170, sawa na pauni za Uingereza (£105) na kompyuta itauzwa kwa dola $300 sawa na pauni (£185).
"Ni Waafrika wenyewe, ndiyo watakaofahamu mahitaji ya Afrika," amesema Bwana Mankou katika mkutano wa Tech4Africa mjini Johannesburg.
"Apple ni kampuni kubwa Marekani, Samsung ni barani Asia na tunataka VMK kuwa kampuni kubwa barani Afrika."

Kifaa cha Tablet kilichoundwa barani Afrika
Blogu ya teknolojia ya Smartplanet imeripoti kuwa kompyuta za VMK zinatoa huduma ya uunganishaji wa wi-fi na uwezo wa gigabytes 4 ambazo zimehifadhiwa ndani yake.
Jina lake, Way-C, lina maana ya "mwanga wa nyota" katika lugha ya Kilingala.
Simu hiyo ya smartphone nyuma na mbele ina kamera na skrini ya ukubwa wa inchi 3.5 sawa na sentimita 8.9.
Verone Mankou
Verone Mankou, ndiye aliyeunda kifaa hiki
Kuna mipango ya kuuza simu hizi katika nchi kumi za Afrika Magharibi pamoja na Ubelhiji, Ufaransa na India.
Bwana Mankou amesema anatarajia kuzindua uuzaji wa kompyuta za bei nafuu zaidi kwa wanafunzi mwaka ujao.
VMK imesisitiza kuwa wakati bidhaa zake zinatengenezwa China kwa sababu za unafuu wa gharama, ubunifu na uhandisi wa simu hizo ni wa Kiafrika.
Hii ni kutokana na baadhi ya watu au kampuni za biashara kupinga uwezo wa kampuni hiyo katika teknolojia ya simu na kompyuta.

Kampuni ya VMK imesema kinyume na bidhaa nyingine za awali za simu na komputa zilizosemekana kuwa za Afrika, bidhaa za VMK hazifanani na bidhaa zozote za aina hiyo katika nchi nyingine.
source:BBC

HUYU NDIO DADA YAKE MARIO BALOTELLI AMBAE YUKO MAPENZINI NA MCHEZAJI OBAFEMI MARTIN.


.
Kwa wiki kadhaa sasa hivi zimekuwepo taarifa kwamba mchezaji wa Manchester City Mario Balotelli amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wa Nigeria Obafemi Martins kuingia kwenye mapenzi mazito na dada yake, yani dada wa Balotelli.
Obafemi ameamua kuzungumza kwa kusisitiza kwamba hizo ni habari tu kwamba Mario kakasirika lakini sio kweli, Balotelli anafurahi dada yake kuwa mapenzini na Obafemi.

Wapenzi hawa wamekua wakionekana sehemu mbalimbali za goodtimes na wameonekana wazi kabisa kuwa kwenye mapenzi mazito.
Obafemi amekaririwa na Daily Post akisisitiza kwamba “Mario ni mshkaji wangu, ananiheshimu na mimi namuheshimu… habari za yeye kukasirika ni watu tu wanatunga”


Balotelli
Obafemi amesema ni kweli yuko kwenye mapenzi mazito na Abigail lakini hawana mpango wa kuoana sasa hivi na wala hawajawahi kuliongelea hilo.
Kwenye interview na gazeti la The Sun April 2012 Abigail ambae ni dada wa Mario Balotelli alisisitiza kwamba hana mpango wa kuwa mapenzini na mchezaji yeyote wa mpira kwa sababu ni watu wanaozungukwa sana na wasichana, wasichana wanajipeleka wenyewe bila kuitwa, hata Balotelli hatomruhusu kuwa na mpenzi mwanasoka lakini naona mambo yamekua tofauti sasa hiv

ASKARI ALIYEPIGA PICHA NA LEMA ATOROKA JESHINI


JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema askari anayedaiwa kuwa jeshi hilo aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema ametoroka.
 
Msemaji wa JWTZ, Kanali Kapambala Mgawe alisema jana kwamba pamoja na hatua yake ya kutoroka, jeshi litaendelea kumsaka kwa udi na uvumba ili kumhoji na kujiridhisha kama kweli ni mwanajeshi wake kabla ya kumchukulia hatua za kinidhamu kwa mujibu wa Kifungu cha 147 cha Katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ya 1977.
 
“Huyu kijana inasemekana alishawahi kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), lakini wakati tunaendelea na uchunguzi alitoroka katika nyumba aliyokuwa amepanga bila ya taarifa kwa baba mwenye nyumba,” alisema Kanali Mgawe na kuongeza:
 
“Askari huyo alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga mita chache karibu na Kituo cha Polisi cha Simanjiro, Arusha na alikuwa akijishirikisha na ulinzi shirikishi.”
 
Alipoulizwa jina la askari huyo, Kanali Mgawe alijibu: “Yeye alikuwa anafahamika mtaani hapo kwa jina la kamanda.”
 
Hata hivyo, Kanali Mgawe alisema jeshi hilo litahakikisha linatoa ripoti kamili kwa umma baada ya kumkamata na uchunguzi kukamilika ili kuondoa utata uliogubika suala hilo.

Alipoulizwa kama kuna tofauti gani kati ya mwanajeshi kuingia kwenye mikutano ya wanasiasa na wale wanaofanya kazi za kisiasa kama wakuu wa wilaya na mikoa, Kanali Mgawe alijibu:” Wanajeshi wanaofanya kazi za U-DC au RC, wanaruhusiwa kisheria.”
 
Alifafanua kuwa iwapo mwanajeshi atateuliwa kufanya kazi katika taasisi yeyote ya Serikali nje ya jeshi, atatakiwa kuvua magwanda ya jeshi na kufanya kazi hiyo mpaka atakapomaliza muda wake na baada ya hapo ataruhusiwa kurejea jeshini.
 
“Kuna kitu kinaitwa ‘secondment.’ Mwanajeshi anaruhusiwa kufanya shughuli zozote nje ya jeshi iwapo atahitajika kufanya hivyo. Ila kwa masharti ya kuvua magwanda, hivyo wananchi wasishangae kuwaona baadhi ya askari wetu ni wakuu wa wilaya na mikoa na baadaye kurudi jeshini kuendelea na majukumu yao,” alisema Kanali Mgawe na kuongeza:
 
“Askari akiwa katika majukumu yake mapya, atafanya kazi zote atakazopewa zikiwamo za kisiasa kama ilivyo kwa wakuu wa wilaya na mikoa, lakini akirudi jeshini, anarudi kuwa askari mwenye utii na kufuata kanuni za jeshi zisizofungamana na siasa.”

RIPOTI FUPI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI- TANZANIA


Matokeo rasmi ya sensa yametoka. Idadi ya Watanzania ni milioni arobaini na nne nukta tisa. (44.9million).


Matokeo hayo yametangazwa leo katika viwanja vya Mnazimmoja jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012.

Jumla: 44,929,002. TZ Bara 43,625,434 na Zanzibar 1,303,568
Source:MPEKUZI

MAJUU WAKISHANGILIA MWAKA MPYA WABONGO TUNASHEHEREAJE

 New Year's Eve celebrations around the world hapa Pakistan Rob Crilly... ukiwa mji umenuka mbaya kwa shagwe!!!


 Hapa watu wakiwa wanasherekeea kwa kuangalia  fireworks are lighting up the city's skyline



Australia welcomes in the New Year
• Revellers around the world prepare to celebrate the start of 2013
• India's army cancels New Year celebrations in remembrance of gang-rape victim
• Britain expects washout New Year as flooding countinues
• Record turnout expected for Hogmanay in Edinburgh

Tuesday, December 25, 2012

Weakening Xmas spirit should be re-energised


We are in the grip of yet another festive season, specifically Christmas that is due tomorrow, and which bears great significance to Christians, because it is the birthday of their saviour, Jesus Christ.
With the passage of time spanning over two thousand years, however, the significance of Jesus’ teachings, his crucifixion, death and resurrection has been progressively eroded. Jesus Christ, as son of God, is one of the constituents of the Holy Trinity – the others being the Father and the Holy Spirit – that highlights the baptism of Christians.
Christmas, therefore, should be a season of serious spiritual soul-searching and a chance for adherents to the faith to readjust themselves from sin to righteousness. The trend has been though, that, the season is characterised more by fanciful dressing, feasting, picnicking, and alcohol-indulgence sprees.
It is also an occasion for reunions of long-geographically separated relatives and friends; which is fine, only that, for most part, the re-unions represent crowds of merry-makers rather than seekers of positive spiritual revolution.
It is a trend that is worrying clerics and concerned worshippers, who are alarmed that, worldly life in which the quest for money, material possessions, and economic show-off, have been elevated to virtues, while the real virtues, such as leading simple lives, modesty, compassion and honesty, are being disregarded.
Worrying, too, is the proliferation of evangelical denominations whose focus is economic prosperity rather than advancement of Christian faith. But not all is well in mainstream churches, some of which are rocked by leadership wrangles, factionalism amongst worshippers, and the wayward tendencies of clerics and lay operatives in Church administrative establishments who should be role models but are bad example setters instead.
It is apparent, then, that, much clean-up has to be done, to whip stray Christian flock back onto the right path, for those whose faith has weakened to strengthen it, and, above all, for clerics to be paragons of spiritual virtue, since, after all, they are shepherds tasked to provide Jesus Christ-like guidance.
That will enrich the Christmas season. 
source:the Citizen

Wanawake marufuku kuvaa nguo fupi




Wanawake wa Swaziland
Wanawake nchini Swaziland wako katika hatari ya kukamatwa na polisi iwapo watavaa sketi fupi au blauzi ambazo zitaonyesha tumbo likiwa wazi.
Msemaji wa polisi Wendy Hleta amesema polisi watatekeleza sheria ya mwaka1889 ambayo inapiga marufuku uvaaji wa nguo zinazokosa maadili.
Msemaji huyo wa polisi pia amesema wanawake wanaovaa nguo fupi ni kivutio cha wabakaji.
Hata hivyo, sheria hiyo ya kikoloni haitumiki katika uvaaji wa nguo za kijadi ambazo zinavaliwa na wanawake, sehemu kubwa ya miili yao inaachwa wazi.
Mavazi hayo huvaliwa wakati wa sherehe, zikiwemo za mwaka zinazompa Mfalme fursa ya kuchagua mke wake mpya.
Mwaka 2000, serikali ilitunga sheria inayowataka wanafunzi wa kike kuanzia miaka 10 na zaidi kuvaa sketi zinazovuka magoti kama njia ya kuwalinda dhidi ya maambukizi ya Ukimwi.
Mfalme Mswati III wa Swaziland

Swaziland ina idadi ya watu milioni1.2 na moja kati ya nchi zenye kiwango kikubwa cha maambukizi ya ukimwi duniani.


Bi Hleta amesema sheria hiyo ya mwaka1889 haijaweza kutekelezwa katika miaka ya karibuni.

Amesema polisi wanataka kuwajulisha wanawake kuwa sheria hiyo bado ipo na inafanya kazi.
Baadhi ya wanaume katika mji wa Manzini wamesemekana kuwalalamikia wanawake wanaovaa kuvaa nguo fupi.
source:BBC

Tuesday, December 18, 2012

PICHA ZA AJALI YA NDEGE YA TANAPA ILIYOTOKEA JUZI

Katongo ashinda tuzo ya mwaka ya BBC


Chris Katongo baada ya kupokea tuzo ya mwanasoka bora wa BBC
Christopher Katongo ameshinda tuzo ya mwanasoka bora wa BBC mwaka wa 2012.
Naodha huyo wa Zambia mwenye miaka 30 amemshinda Demba Ba, Didier Drogba, Younes Belhanda na Yahya Toure na kuwa mshindi wa kwanza kutoka Kusini mwa Afrika katika historia ya mashindano hayo.
Orodha ya washindani hao ilitengazwa na wataalamu wa soka Afrika, ambao wamezingatia umahiri wa mchezaji, uwezo wa kiufundi na ushirikiano na wachezaji wengine.
Na idadi kubwa ya watu wamepiga kura kupitia njia ya mtandao au ujumbe mfupi huku asilimia 40 kati yao wakimchagua Katongo, ambaye anachezea timu ya China Henan Construction.
 Katongo aandikisha rekodi mpya
Huku wachezaji wote walioorodheshwa katika kinyang'anyiro hicho walikuwa na mwaka mzuri, wanne kati yao walikuwa wameshinda medali mbali mbali, ni Katongo pekee ambaye mafanikio yake yamezingatiwa na mashabiki wa mpira Afrika.
Chris  Katongo
Chris Katongo akipokea tuzo hiyo kutoka kwa waziri
Katongo, ambaye ni mwanajeshi nchini mwake, alikuwa kivutio pindi alipoiongoza Zambia, katika michuano ya kombe la Mataifa Bingwa barani Afrika mnamo mwezi wa Februari mwaka huu.
Alifunga magoli matatu katika fainali iliyoandaliwa nchini Equatorial Guinea na Gabon na baadaye kufunga bao la ushindi kupitia mkwaju wa penalti na kuisadia Zambia kunyakuwa kombe hilo.
Zambia iliishindi Ivory Coast kwa 8-7 katika fainali hiyo baada ya timu hizo mbili kutoshana nguvu baada ya muda wa kawaida na muda wa ziada mjini Libreville.

Katongo afufua matumaini ya Zambia kuelekea Brazil


Chris Katongo akishika tuzo aliyoshinda
Kilikuwa ni kipindi kilichojawa na hisia kwa Zambia, ambayo miaka 19, iliyopita ilipata msiba mkubwa, pale ndege iliyokuwa imebeba wachezaji wa timu ya taifa ilipoanguka mita 500 tu mbali na Libreville, na kuuwa wachezaji wote 25 na rubani wake.
Miezi saba baada ya kuongoza Zambia kushinda kombe hilo, Katongo vile vile amekuwa nyota wa timu yake ya taifa wakati wa michuano ya kufuzu kwa fainali za mwaka ujao,wakati alifunga goli la pekee dhidi ya Uganda.
Bao hilo liliibuka kuwa bao muhimu sana kwa Zambia kwa kuwa ilipoteza mechi iliyofuatia kwa bao moja kwa bila, lakini ikafuzu kwa fainali za mwaka 2013 zitakazo andaliwa nchini Afrika Kusini baada ya kushinda kwa magoli 9-8 kupitia mikwaju ya penalti.

Mikakati ya kufuzu kwa kombe la Dunia

Na zaidi ya hayo yote, Katongo amechangua pakubwa harakati za kufufua matumaini ya Zambia ya kufuzu kwa michuano ya kombe la dunia ya mwaka wa 2014.
Chris  Katongo
Naodha wa Zambia Chris Katongo
Zambia ililazwa magoli 2-0 na Sudan mjini Khartoum mwezi Juni, matokeo ambayo hadi wakati huu hayajathibitishwa, huku uchunguzi ukiendelea kuhusu hatua ya Sudan ya kumshirikisha mchezaji ambaye hakuwa amesajiliwa.
Wiki moja baada ya mechi hiyo Zambia ilichuana na Ghana na Katongo kwa mara nyingine ndiye aliyefunga bao la ushindi na hivyo kuimarisha matumaini yao ya kufuzu.
Ikiwa Christopher Katongo ataendelea na hali aliyo nayo kwa sasa, huenda akaisaidia Zambia kuandikisha matokeo mazuri wakati wa michuano ya kuwania kombe la dunia nchini itakayoandaliwa nchini Brazil miezi kumi na minane ijayo.
Source:BBC

Monday, December 17, 2012

Dalili za "kuibiwa" penzi: How to know if your Girlfriend is cheating




Sometimes, a good relationship can be ruined by mistrusting your girlfriend. But there are always suspicions... How do you find out if your girlfriend is honest without putting your relationship at stake?

ADVISORY: The below are opinions based on personal experience from those who have experienced cheating on all ends. This is not a scientific method or anything sure-fire. Because this is relationship advice, it is infinitely complex, and requires serious finesse and strength of character.

Don't wait. If you have the feeling that your partner is cheating on you, it is best that you find out now rather than later. Having a thought of infidelity in your head can cause endless worry, leading to insecurities and doubt. Having these thoughts can destroy a relationship, real or imagined.


Observe. What led you to believe she may cheat? Is it her new "Friend"? Is she spending less time with you? Sharing less with you? Is she talking to or spending more time than usual with other men? Has she made any new single friends? Is she acting suspicious?

Watch for potential signs.

  • Does she send you text messages or calls less often? If you start being the one to call or text her first, that's a bad sign.
  • Secret phone conversations: Does your partner leave the room every time they get a call on their cell? Are they just trying to be polite? If your partner is trying to guard their conversations on the phone, there may be reasons to worry.
  • Distinct changes in appearances: If your partner suddenly starts worrying a little more about their appearance, (new cloths, always clean shaven, spending more time in the mirror) they may be trying to look good for someone else. If they get dressed up for you, that's one thing but if they seem to spend a little more time looking good to go out without you, you might want to look into that.
  • Picking fights: Is your partner picking fights and arguing more with you? This could just be an excuse to get out of the house. Picking a fight and then storming out of the house to get away from you is an easy way to go spend time with someone else.
  • Lying: Catching your partner in a lie no matter how small is always cause for concern. Try to connect lies with certain time frames and you may have a connection to infidelity.
  • Computer time: An increase in computer time may be one of the 7 signs you are being cheated on. There are many adult chat rooms out there that cater to infidelity. Check instant messaging, emails and so on.
  • Friends behavioral change: If your friends seem to feel uncomfortable around you, they may know something that you don't. A classic sign that your partner is cheating on you and you are the last to know.
  • Accusing you: Another common sign you are being cheated on is accusing you of the very same thing they are so guilty of, cheating. They may drop hints that you are having an affair because their own guilt is starting to wear on them.
Many women have no problems addressing concerns of infidelity as long as they are not accusations. If she becomes defensive or tries to turn the tables on you about your need to talk (i.e. making you feel horrible for asking), then it may be her guilt that is not allowing her to be honest with you about what's going on. This can often lead to a stalemate between lovers and cause havoc on even the tightest relationships.


Tell her you love her. Does she say it back? Hold her hand. Does she try to pull it away? Does she look nervous? These are signs that she might be thinking of cheating. However, some girls are shy and if the relationship is new, she may be uncomfortable with some things. Although, if it is new, she probably wouldn't be cheating, would she?


Many women in this day and age have confused sexualities because of shifting standards. Your girlfriend might be thinking of cheating on you if she is wanting to experiment either with kinks or other genders. Do not confront her about this. Instead, try looking for things in her web-browser history: Google searches, Wikipedia pages visited, maybe even porno sites. If you find anything like bondage, anal, or bisexuality, try bringing it up as if it were your fantasy. More than likely if she can find it at home, she won't go looking for it elsewhere.


Remember that the reason cheating is painful is not because of the act, but for all the reasons it took place. Do not focus on the cheating act - try and repair or confront any relationship troubles. Either your relationship will end or it will be better than before, and either way, the majority of the time, she will confess to cheating or to considering it.


Ask her friends (not "IS she having an affair"), but about her regular activities. Then, you will be able to get some tips. Unfortunately, you are usually the last to know that she's thinking of cheating. Look for changes in her friends behavior. Are they hanging out with you less as a couple? Most people unconsciously act differently towards those they know are being deceived. Although they may sympathize with your situation, they are unlikely to rat out a friend.


Ask her about her opinion on a specific guy. If she hesitates to answer or becomes defensive or inconsistent, then chances are you might want to have a closer look at that specific relationship.


Like the old saying goes, "Once a cheater, always a cheater". Has she snuck around other boyfriends in the past? If so, then, she is 2.5 times more likely to cheat then those who have never before. Tread carefully with these women.

In the end, follow your gut instinct. Sometimes, you just know things without having to second-guess yourself. No amount of crying and denial can rival the feelings you have in the pit of your stomach. After you've taken all the evidence into consideration, it's time to follow your gut. If she's thinking of cheating or has a wandering eye, chances are she thinks she can do better. If so, then maybe you can too.


If you find out she's cheating, discuss it with her. If she cheated out of ignorance or sexual confusion and genuinely regrets it, you should consider forgiving her. If she doesn't seem to care, dump her and find someone who appreciates you.


Remember it's not your fault. There are a myriad of reasons to break up with someone but only one reason to cheat. It is a personal failing on the cheater, not the cheated. Because if you didn't complete them, then they should break up with you; not cheat on you. So even if you are the worst person in the world, the only reason to cheat is because they have a problem, not you.

Source: Mtandao